MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

YOUNG DEE" NAKUJA NA REALITY SHOW" LIVE KWENYE TV YAKO

Msanii wa Muziki nchini Young Dee, amefunguka na kusema kuwa yuko mbioni kuja na reality show kupitia Televisheni..................



Kipindi hicho cha msanii huyo kitakuwa kikiwahusu mashabiki wake wa muziki, alifunguka na kusema kuwa “Kuna show yangu ambayo ni reality show ambayo tumeshaanza kuishoot , itakuwa ikizungumzia moment zangu nyingi ambazo hizo moment zitakuwa zikimuhusu shabiki wangu wa ukweli, ambaye anatamani sana kuwa anapata muda wake na Young Dee kuona vitu gani anavyovifanya, so hii show ni kwaajili ya hawa mashabiki wangu kabisa” hayo yalikuwa maneno ya Young Dee. 
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment