MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MKE WA GBAGBO MIAKA 20 GEREZANI

Mahakama nchini Ivory Coast imemhukumu aliyekuwa mke wa Rais wa nchi hiyo Laurent Gbagbo, kifungo cha miaka 20 gerezani................


Simone Gbagbo amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia ya kushiriki 
katika ghasia zilizotokea baada ya uchaguzi nchini humo mwaka 2010 na 2011.

Simone Gbagbo alikamatwa mwaka 2011 pamoja na mume wake, aliyekuwa rais wa nchi hiyo Laurent Gbagbo, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama ya uhalifu mjini The Hague Uholanzi.


Katika ghasia hizo watu takriban elfu tatu walifariki dunia.
kutoka BBC
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment