MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Lupita Nyong’o aanza misele na mpenzi wake mpya raia wa Nigeria





Lupita
  Lupita Nyong’o ameonekana kwa mara ya kwanza akiwa na mpenzi wake mpya mwanamitindo mwenye asili ya Nigeria, Mobolaji Dawodu.

Lupita akiwa na mpenzi wake Mobolaji Dawodu
 
Wawili hao wameonekna Jumanne hii kwa mara ya kwanza wakiwa pamoja kwenye mchezo wa tennis kwenye mashindano ya US Open huko jijini New York wakati Serena Williams alipokuwa akicheza na Ekaterina Kakarova.

Siku chache zilizopita Lupita alithibitisha kuwa na mahusiano na mwanamitindo huyo huku akidai kuwa amemua kumweka mahusiano yake mitandaoni baada ya kumchunguza kwa muda wa miezi sita.

Dawodu ni mwanamitindo lakini pia ni muhariri wa jarida la mitindo GQ la nchini Marekani
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment