MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DULLY SYKES, SIJAPATA MKE, UKIFA BILA KUOA SIYO DHAMBI.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, mwenye watoto wane si mengine bali ni Dully Sykes, alifunguka na kusema kuwa akipata mke mwema ataoa lakini kwa sasa bado.

Aliyasema haya kupitia moja ya kipindi cha Radio “ sijapata Mke, unajua mke si girlfriend Material na kuna Wife Material, sijali Mungu hajaniletea mke na ukifa bila mke siyo dhambi kwa sababu hajakultea,alitaka ufe bila mke,


Hayo yalikuwa ni maneno ya msanii huyo mkongwe katika Muziki wa Bongo  Fleva, hapa nyumbani TZ255.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment