MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

LOMU, MCHEZA RUGBY MAARUFU AAGA DUNIA

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya New Zealand ya mchezo wa raga Johan Lomu amefariki dunia.

Mchezaji huyu amefariki akiwa na umri wa miaka 40 huku akisumbuliwa na ugonjwa wa figo.

Lomu alifanyiwa uabadilishwaji wa figo yake mwaka 2004 ambayo ilikua ikimsumbua na iliyopelekea kustaafu kucheza mchezo wa raga.


Lomu enzi za uhai wake alichezea timu ya taifa michezo 73 kuanzia mwaka 1994 mpaka 2002 na kufunga mabao 43.

kutoka BBCSwahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment