MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NE YO, KUFANYA SHOW KUBWA JIJINI MWANZA MWAKA HUU PAMOJA NA DIAMOND

ne-yo-crop
Msanii mkongwe nchini Marekani, NE YO, Kutumbuiza kwenye moja ya Tamasha kubwa jijini mwanza.

Tamasha hilo litashushwa na kituo cha Radio , JEMBE FM. Tukio ili litakuwa ni mara ya tatu kwa msanii huyo kuja Afrika mashariki, ambazo ni Kenya, Uganda na sasa ni Tanzania.


Msanii mkubwa wa Tanzania Diamond Platnum naye anatakuwa mmoja wa wasanii watakao tumbuiza siku hiyo, kikubwa kuwa hawa wasanii wameshafanya kazi ya pamoja.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment