Ndege hiyo inayojulikana kama (The
Airlander 10) ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya
kawaida.
Ndege hiyo iliyogharimu
dola milioni 25 kuijenga inaweza kusimama eneo moja hewani kwa wiki tatu na na
pia inaweza kuendelea kuruka hata baada ya kutobolewa mashimo kwa njia ya
risasi.
Jeshi la Uingereza liliishiwa na pesa za
kumaliza ujenzi wake kuitumia kama ndege yao ya ujasusi hali iliyosababisha
kampuni ya huduma za ndege ya Uingereza kujitwika jukumu la kuikamilisha.
0 maoni:
Post a Comment