§ Mkataba
huo ambao Trump anauzungumzia na kukerwa nao ni ule wa Marekani na Iran.
§
§ Ushindi wa Trump ni hatari kwa dunia
Bw Trump, ambaye kwa
sasa yuko mstari wa mbele katika kinyang'anyiro hicho katika chama chake
aliliambia kundi lenye ushawishi mkubwa linalounga mkono Israel kuwa mapatano
hayo ya Iran ni hatari kwa Marekani.
Amesema pamoja na madhara kwa Marekani
lakini pia unaweza kuihatarisha Israel na Mashariki ya Kati.
0 maoni:
Post a Comment