Kuna mambo yanaendelea kupitia mtandao wa Instagram,
mara baada ya Babu Tale kupost video akiwa na rapper Chid Benz, ambaye kwasasa
hayuko poa kiafya kufuatia matumizi ya Madawa ya kulevya.
Video hiyo imeonesha kustua watu wengi na kuamsha
hisia za wadau wa muziki, lakini kwa upande wa Rapper mwengine ambaye ni Young
Dee, yeye amechukulia kivingine video hiyo, na haya ni yamoyoni kutoka kwa
Young Dee,
Challenge kwako blaza hii ni aibu sidhani Kama kuna die hard fan wa ukweli wa chidi Kama ataipenda hii Au ata Kama ni kweli una mpango wa kumsaidia kama manager bora Afrika..! Nimeiona hii nmeshtuka tale! Babu Tale umeniangusha Kwa hili.. Starting to heal but kill the best rapper mbele ya macho ya watanzania’ – Young Dee
0 maoni:
Post a Comment