Wasanii wa music wa Hip Hop nchinini Marekani, JayZ na Kanye West
wameingia kwenye utata mkubwa na mmoja ya mashabiki wao mkubwa nchini humo.
Shabiki huyo amefungua kesi dhidi ya wasanii hao kwa kutoa ahadi na
kutofanikisha ahadi hiyo ya kuweka Albam nzima ya Kanye West kwenye mtandao wa
TIDAL, unaomilikiwa na JayZ.
Kuvunjika kwa Ahadi hiyo imekuja baada ya Albam hiyo kupatikana pia
katika mitandao mingine duniani.
0 maoni:
Post a Comment