Nayo majeshi ya serikali yamesitisha
shughuli ya usambazaji wa chakula katika eneo hilo, eneo ambalo wanajaribu
kulikomboa kutoka katika ngome vikosi vya kundi la kigaidi la Islamic State.
Kundi moja la wanaharakati waishio mjini
New York nchini Marekani wanaofanya kazi ya kusambaza misaada ya kibinaadamu
wanasema kwamba ni kiasi kidogo mno cha chakula na huduma nyinginezo
kilichosalia katika eneo hilo na ili kuokoa uhai watu walioko eneo hilo
wanaishi kwa kunywa supu ya majani .
Kuna taarifa pia ambazo
hazijathibitishwa juu ya vifo vingi vinavyotokea kutokana na uhaba wa chakula
na dawa.
chanzo BBC Swahili
0 maoni:
Post a Comment