Kwa wagombea wa chama cha Democtrats
Bernie Sanders amelelewa mjini New York naye Hillary Clinton amekuwa seneta
katika jimbo hilo.
Kwa upande wa Republican mgombea mkuu
Donald Trump ni mwenyeji wa jimbo hilo.
Ananuia kupata ushindi dhidi ya
mshindani wake mkuu Ted Cruz, Lakini amekosoa mbinu ya kumchagua mgombea wa
chama.
Wagombea hao wote
wamekuwa kwenye kampeni ya kuwarai wapiga kura. Clinton aliwaambia wapiga kura
kuwa hatachukulia chochote kwa msaha huku kwa upande wa Republican Trump
akisisitiza mapenzi yake kwa jimbo la New York.
Mshindani wake mkuu Ted Cruz hatarajiwi
kufanya vyema baada ya kukosoa sera za Trump mapema kwenye kampeni.
kutoka BBC Swahili.
0 maoni:
Post a Comment