MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Wakimbizi 200 wa Boko Haram wafa kwa njaa

Watu 200 waliokimbia kutoka kwa maeneo yaliyovamiwa na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram nchini Nigeria, wamefariki kutokana na baa la njaa na ukosefu wa maji.
Shirika la madaktari wasiokuwa na mipaka- MSF, linasema kuwa vifo hivyo viltokea mwezi uliopita, katika kambi moja duni ya wakimbizi wa ndani kwa ndani, Kaskazini- Mashariki mwa nchi hiyo.
MSF linasema kuwa uhaba huo wa vyakula na maji unatishia maisha ya wakimbizi zaidi wa ndani kwa ndani katika kambi ya wakimbizi ya Bama Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Kambi hiyo yamkini inawakimbizi takriban elfu 20,000 hivi.
kutoka BBC Swahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment