MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Marufuku nguo za kubana Chuo Kikuu cha Lagos

Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Lagos
Image captionWanafunzi katika Chuo Kikuu cha Lagos
Chuo kikuu cha Lagos nchini Nigeria kimepiga marufuku wanafunzi kuvaa nguo zinazobana mwili.
Taarifa iliyotolewa kwa wanafunzi chuoni hapo inasema wanapaswa kuonekana nadhifu wawapo katika maeneo ya chuo, na kwamba uvaaji wa nguo za kubana ama zinazoonesha miili yao, sio jambo la kufaa.
Chuo kimepiga marufuku nguo zote ambazo zinaonesha maeneo nyeti ya sehemu za mwili kama vile kifua, tumbo, sehemu ya matiti, makalio.
Raia wengi wa Nigeria wamekuwa wakipendelea kuvaa nguo zenye staha, lakini katika kizazi cha vijana wa sasa mara mara nyingi wamekuwa wakidharau maadili ya mavazi ya asili.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment