Wavamizi wamewaua watu 20 akiwemo kiongozi mmoja wa kijamii katika uvamizi waliofanya katika kijiji kimoja Kaskazini mwa Nigeria katika jimbo la Zamfara.
Kwa mujibu wa afisaa mmoja mkuu wa jimbo hilo, wavamizi walivamia kijiji cha Kaboro na kuanza kuwashambulia watu kwa kuwapiga risasi kiholela.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Post a Comment