MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAFURIKO YAIKUMBA NIGERIA



Zaidi ya watu milioni mbili nchini Nigeria waliathirika kutokana na mafuriko na hivyo kulazimika kutoroka makwao mwaka huu
Idara ya kukabiliana na majanga nchini humo,(Nema) inasema kuwa mvua kubwa zilisababisha vifo vya watu 363 tangu mwezi Julai.
Hayo ndiyo yalikuwa mafuriko mabaya zaidi katika miaka hamsini kuwahi kutokea nchini humo na yameathiri maeneo mengi ya nchi hasa maeneo yaliyo katika mto Niger.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment