MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAN CITY KICHWA CHINI


Meneja wa klabu ya soka ya Manchester City ya Uingereza, Roberto Mancini, amesema hana matumaini tena ya timu yake kufanya vyema katika mechi za klabu bingwa, baada ya Jumanne jioni, ikiwa katika uwanja wa nyumbani, kutoka sare ya 2-2 ilipocheza na Ajax ya Uholanzi.

City ina pointi mbili baada ya kucheza mechi nne, na lazima ishinda mechi zote mbili kujiongezea matumaini yoyote ya kuendelea mbele.
"Kwa bahati mbaya tuliondoka tu na pointi moja, na nadhani hatuna tena matumaini ya kuendelea na ligi ya klabu bingwa," alisema Mancini.

Mancini, ambaye ni raia wa Italia, aligombana na waamuzi baada ya kipenga cha mwisho, kufuatia kuamini kwamba timu yake ilinyimwa ushindi.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment