MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
LIL WAYNE
SIKU 6  ICU.
Lil Wayne bado yuko Hospital katika chumba cha wangonjwa maututi ICU,
Leo ni siku ya 6 tokea kuzidiwa na madawa ya kulevya na kupelekwa hospotal.
Taarifa zinasema kuwa Lil Wayne anaendelea vizuri, inawezeka hivi karibuni
Akatoka katika chumba cha wangonjwa maututi, ICU, taarifa hizo ni kutoka
Kwa madaktari wa Cadars-Sinai Hospital.
Kipindi chote msanii huyo alikuwa karibu na marafiki na wanafamilia yake,
Kati ya jamaa zake wa karibu waliokwenda kumtazama ni Drake, Nick Minaj,
Chris Paul na Birdman, kipindi chote cha kuumwa kwake.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment