AJARI YAWAPOTEZA WAKENYA 10 TZ
Takribani wakenya kumi wapoteza maisha mara
baada ya
Basi walilokuwa wakisafiria kupata ajari nchini
Tanzania.
Basi hililililoanguka katika eneo la Tanga ,
kaskazini mwa
Tanzania lilikuwa limebeba wanawake sitini raia
wa Kenya
Walokuwakatika ziara ya kanisa nchini humo.
Ripoti zinasema kuwa watu sabini na watano
wamejeruhiwa
Kutokana na ajari hiyo na wengine wamepelekwa
katika
Hospitali ya TUMBI
*********************************************
WAVUVI WAHUWAWA NCHINI TANZANIA
Uongozi wa mkoa wa Geita nchini Tanzania umelazimika
Kuunda tume itakayofuatilia tuhuma za kuuwa kwa
baadhi
Ya wavuvi katika eneo hilo.
Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa huo Magarula Said,
amesema
Taarifa za kuuawa kwa wavuvi hao zimemfikia
baada ya kuandikawa
Barua ya malalamiko ya mauaji hayo na chama cha
wananchi CUF.
0 maoni:
Post a Comment