RUDISHA ARUDISHA FAHARI YA KENYA
Mkenya David Lekuta Rudisha ameibuka kuwa mwanariadha
wa
kwanza kuandika rekodi mpya kwenye mpya kwenye
mashindano ya riadha katika michezomya
olimpiki,
inayoendelea jijini Londoni Uingereza na kisha kushinda
medali ya dhahabu katika mbio za mita mia mbili.
Akiwa anashiriki fainali ya michezo ya olimpiki
kwa
mara ya kwanza, rudisha mwenye umri wa miaka 23
alinyakuwa ushindi huo na kuwa mtu wa kwanza
kukimbia
umbali wa mita mia nane kunako dakika 1,sekunde
40
nukta
91.
Mwanariadha wa Botswana Nijel Amos,umri
18,alinyakuwa
medani ya fedha huku chipukizi mwingine kutoka
Kenya
Timothy Kitum, akiridhika na medani ya shaba.
Mwingereza Adrew Osagie alimaliza katika
nafasi ya
nane lakini akaweza kuandikisha muda bora wa
dakika 1:43:77.
0 maoni:
Post a Comment