MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
SERIKALI YASHINDWA KESI DHIDI YA COSTA MAHALU
Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam
Imemuachia huru aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchin
Italia Pro: costa Mahalu na Afisa utawala wa hubalozio huo
Grasi martin baada ya kushinda kesi iliyokuwa inamkabili
Dhidi ya serikali .
Pro: mahalu na martini walikuwa wanakabiliwa na tuhuma ya uhujumu
Uchumi na kuisababishia serikali hasara ya yuro milioni mblili .
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo  Mugeta amesema kuwa
Watuhumiwa hao wameshinda kesi hiyo kutoka na upande wa serikali
Kushindwa kusibitisha ukweli juu ya mashtaka yote 6 yaliyokuwa
Yanawakabili watuhumiwa hao.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment