MACHINGA COMPLEX HAIUZWI
Wafanya biashara ndogondogo katika jingo lamachinga
Complex jijini Dar es salaam wametakiwa kuendelea
Na sghuli zao kwa utulivu na amani kutokuwepo kwa mpango
Wowote wa kupiga mnada jingo hilo.
Haya yamesemwa na mwenyekiti wa bodi ya ushauri wa DSM,
Bw-Godwini mbanga wakati akizungumza na waandishi wa habari
Juu ya kukanusha tuhuma hiyo.
0 maoni:
Post a Comment