MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

.
  OPERESHENI DHIDI YA WAPIGANAJI”SINAI
Maafisa wa usalama nchini misri,wamewaua
wapiganaji kumi na moja tangu kuanzisha operesheni
 kali dhidi ya wapiganaji haorasi ya Sinai,mapema mwenzi huu.
 Hii kwa mujibu wa taarifa za wizara ya ulinzi nchini misri.
 
Operesheni hiyo ilianzwa baada ya kuuawa kwa warinzi
 kumi na sita wa mpakani katika shambulizi lililofanya
 tarehe tano mwenzi huu, pia imewezesa kukamatwa
kwa washukiwa 23 na hata kunasa silaha.
Maafisa mwengine wa ulinzi walitarajiwa kupelekwa
huko  mnamo jumatano hii kuweza kukamilisha msako
 wa washuhukiwa wa ugaidi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment