MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
                  MURO KUWACHANA VIGOGO
Aliyekuwa mtangaqzaji wa TBC, JERRY MURO “amesema  kuwa muda umefika
Kwa vijana kufanya mabadiliko kwa taifa hili, pia alionyesha machungu kwa
 kusema kuwa  taifa linapotea kwa dhuluma na ufisadio unaofanywa na watu
wachache wanaojilimbikizia mali.
Halisema hayo wakati halipokuwa anafanya maojiano katika moja ya kituo cha
Habari jijini Dar es salaam halisema kuwa kati ya watu walio nacho na wasio nacho
 ni kubwa sana hivyo basi watanzania walio wengi hawanufaiki na rasilimali zao
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment