MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAKALA WA MAHARAMIA AFUNGWA MAREKAN
Raia mmoja wa Somalia ambaye alikuwa wakala wakati wa mazungumzo
Kuhusu kuachiliwa kwa mateka wa marekan amefungwa miaka 12 nchin
Marekan.
 
Mohammad Saaili alipatikana na hatia mwenzi wa April kwa makosa ya uharamia
Utekaji nyara wakati wa mashua ya kifahari ya SV Quest ilipotekwa nyara na maharamia
wa kisomalia karibu na Oman.
Mkuu wa mashitaka aliambia mahakama kuwa Shibin alipokea kiasi cha dola 30,000
Kwa kazi yake ya uajenti wa maharamia.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment