WAKONGO NAO WATOROKA LONDON OLIMPIKI
Ujumbe wa watu wane katika timu ya Olimpiki
kutoka
Jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo wametoweka
jijini
London.
Cedric mandembo, aliyeshiriki katika mashindano
ya mchezo
Wa judo na makocha wa timu za ndondi, riadha na
judo hawajaonekana
Tokea kumalizika kwa sherehe za kufunga michezo
hiyo siku ya jumapili.
0 maoni:
Post a Comment