MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
Wizara ya maji kushilikiana na wizara ya Afya, wizara ya elimu
Pamoja na ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI zimesaini mkataba wa
 Mradi wa kusimamia usafi wa mazingira hasa vijijini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Naibu katibu mkuu wa
Wizara ya maji Bw, Bashiri Mrindoko, wakati wa kusaini mkataba
Huo mbele ya waandishi wa habari pamoja na wadau hao.
Bw, Mrisho amesema kuwa lengo la mradi huo ni kuhakikisha  kuwa
Wanabolesha usafi wa mazingira maeneo ya mijini na vijijini , kwa
Upande wake kaimu katibu mkuu wa elimu na mafunzo ya ufundi
Selestine Gesimba, amesema kuwa mradi huo utasaidia kuboresha
Usafi wa mazingira katika mashule.   
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment