MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
WAkENYA 48 WAUAWA
Polisi nchini Kenya, wanasema kuwa watu 48 waliuawa usiku wa
kuamkia leo kufuatia mapigano makali kati ya jamii za Pokomo
na Orma katika eneo la Mto Tana kusini mashariki mwa KENYA.
Mauaji hayo yalitokea wakati watu wenye silaha kutoka jamii ya
Pokomo waliposhambulia kijiji kimoja katika eneo la Reketa huku
Wakiteketeza makazi ya watu.

Naibu kamanda wa polisi mjini Mombasa, Joseph Kitur, amethibitisha
 Kuwa watu 48 waliuawa ,31 kati yao ni wanawake, watoto 11 na wanaume 6.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment