MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
MAANDAMANO KUPIGA MAUAJI YA MWANAHABARI LEOwaandishi wa habari nchin leo wanatarajia kufanya
maandamano kupinga mauaji yaliyofanywa na baadhi ya
polisi kumuua aliyekuwa mwandishi wa kituo cha channel
ten mkoani morogoro hivi karibuni.
waandishi hao wamesema kuwa maandamano hayo
yanalengo la kuitaka serikali kujua umuhimu wa kuwepo
kwa wanahabari nchini na kuwa na uhuru wa vyombo vya habari.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment