MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
MCHAKATO WA KUMCHAGUA RAIS MPYA SOMALIA.wabunge 257 wa bunge jipya la somalia wanapiga
kura kumchagua rais mpya wa taifa hilo.

shughuli ya upigaji kura ilichelewa kwa sababu ya
kikosi cha umoja wa mataifa kilikuwa kinawachunguza
wabunge katika ukumbi wa zoezi hilo.
wagombea 24 wanawania nafasi hiyo ya urais akiwemo
rais anayeondoka Sheikh Sharif ,shekh Ahmad na waziri mkuu Adbiwel Mohamed.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment