MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
NIGERIA YAUA WAPIGANAJI WA BOKO HARAMJeshi la nigeria limesema kuwa limewaua watu saba
wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa kundi la Boko haram
katika mapambano kaskazini mwa nchi hiyo.

msemaji wa jeshi hilo amesema kuwa watu wengine zaidi
ya 13 wamekamatwa baada ya kushambulia kituo cha ukaguzi cha jeshi, katika mji wa Miduguri.
Ghasia hizo zimetokea siku moja baada ya polisi wa nigeria
kusema kuwa wataanza kulinda kutwa kucha , milingoti ya simu za mkononi kufuatia milingoti kadhaa kama hiyo kushambuliwa mwenzi uliopita kaskazini mwa nchi hiyo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment