MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WALIMU KENYA WAANZA MGOMO
Maelfu ya walimu nchini Kenya wameanza mgomo wakidai
Maslahi yao zaidi ambao umeathiri shule nyingi za msingi
Nchini humo.
 
Walimu hao wamedharau amri ya mahakama ambayo ilibatilisha
Mgomom huo kwamba sio halali.
Shule nyingi zilizotembelewa na waandishi wa habari mjini Nairobi
Na Mombasa zilikuwa zimefungwa.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment