MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NJAMA YA MASHAMBULIZI YATIBULIWA KENYA.
Olisi nchini Kenya wameyanasa magwanda yenye mabomu
Ya kujilpua pamoja na zana zengine ambazo zilikuwa zitumuke
Kwa mashambulizi ya kigaidi mjini Nairobi.
 
Washukiwa wawili wamekamatwa katika msako huo uliofanyika
Asubui ya leo katika mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi.
Msemaji wa polisi nchni Kenya Eric kiraithe anasema kuwa –
Magurunet kumi na mbili pamoja na bunduki aina ya AK 47 pia
Zilinaswa wakati wa msako uliofanywa na polisi mtaani humo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment