UBALOZI WA MAREKANI WATEKETEZWA LIBYA
Afisa mmoja wa marekani ameuawa na wengine
wamejeruhiwa wakati kundi la watu waliojiamini
na silaha walipovamia jengo hilo mjini Benghazi.
inaaminika kuwa watu hao walikuwa wanaandamana kulaani filmu moja iliyotengenezwa nchini Marekani ambayo wanasema inamkejeli mtume Mohammed.
Jengo hilo liliteketezwa kabisa na waandamanaji
hao waliokuwa na hasira.
pia maandamano sawa na hayo yamejitokeza mjini
Cairo nchini Misri, kundi lingine la watu limeingia kwenye ubalozi wa marekani na kutekeza bendera ya nchi hiyo.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 maoni:
Post a Comment