MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
SHAMBULIZI LA KUJITOA MHANGA SOMALIA

mshambuliaji wa kujitoa mhanga ameuawa katka shambulizi la bomu
ambalo limetokea mjini Mogadishu na kuwaua watu 14.
shambulizi hilo limetokea karibu na mgahawa mmoja mjini Mogadishu
walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa watu kadhaa wamwjeruhiwa.

Hadi sasa hakuna kundi lolote limeelezea kuusika na kufanya shambulizi hilo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment