Mcheza Tennis Andy Murray, ambaye ni Bingwa mashindano
ya Wimbledon, ametolewa nje ya mashindano katika raund ya nne ya Tennis ya BNP,
Paribas yanayoendelea mjini Indiana Wells, Carlifonia........
Ametolewa na Milos Raonic, kwa seti 3-1, mchezaji huyo
ameorozeshwa katika wachezaji 10 bora wa mchezo huo mara baada ya kumtoa Andy.
Raonic, kutoka Canada mwenye umri wa miaka 23, amefuzu
kwa robo fainali ya mashindano kufuatia ushinda wake wa seti tatu kwa moja za
4-6 7-5 6-3.
0 maoni:
Post a Comment