MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JE UNAMJUA MSHINDI WA BET AWARDS KUTOKA AFRICA....? HUYU HAPA



 Screen Shot 2014-06-29 at 9.07.09 PM
Davido kutoka nchini Naija, azidi kuzipanga tuzo za kimataifa na sasa ni hii ya BET, kuchukuliwa na msanii huyo huyo, ingawaje ilikuwa ni siku nzuri kwa watanzania kufunguliwa njia na msanii Diamond Platnumz lakini alishindwa kuchukua tuzo hiyo kwa sapoti ndogo kutoka Tanzania...............


Tuzo hii ilikua inawaniwa na Diamond Platnumz kutoka Tanzania, Mafikizolo wa South Africa, Sarkodie wa Ghana, Tiwa Savage wa Nigeria na Toofan wa Togo.
 Screen Shot 2014-06-29 at 9.07.17 PM
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment