MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

T.I.D, AMMWAGIA MATUSI RAY C "B*TCH LEAVE ME ALONE..........."



 TID amtusi Ray C baada ya kumuomba wazungumze, "B**ch leave me alone...
Msanii na mmiliki wa Top Band, T I D, A mefunguka kwa matusi kufuatia kile alichoombwa na Ray C, kuwa watafutane wazungumze..............


TID, Ambaye anadaiwa kuwa kati ya wasanii wanaotumia madawa ya kulevya hapa nchini, inasadikika kuwa huenda alijua kuwa mdada huyo anatamuitaji kuachana na mambo yake, kitu kilichopelekea kufunguka na matusi.

Nukuu ““B*tch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you. Ur mistake is urs nakuomba can u just f**k off, help ur boyfriend, I have never liked you, full stop.”Ameandika TID

Hata hivyo mashabiki walioandika comments zao walimshambulia tena TID kutokana na kile alichomjibu Ray C ambaye hakutaja kabisa nia ya kutaka kuzungumza na Mnyama TID.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment