Kuna wasanii wengi lakini Diamoind
kwa Tanzania ni kiboko, hembu tazama jinsi alivyojaza watu huko pande za
Tunduma, wadau wengi wamejitokeza katika show ya leo Usiku, ambayo inasemekana
ndio show ya kwanza kuwa na gharama kubwa, yani kila kichwa ni nelfu 50,000.............
Sasa wasanii wengine wa Tanzania
wengine wa Tanzania wanatakiwa kuwa mfano wa Diamond hapa nchini Tanzania.
0 maoni:
Post a Comment