MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

"MCHAWI" MWANAUME MMOJA, ANAYEONGOZA KWA KUWA NA VIPINI VINGI MWILINI AMEKATALIWA KUINGIA NCHINI DUBAI.



 Rolf Bushholz
Mwanamume wa Ujerumani ambaye anaongoza rikodi ya dunia kuwa na mwili uliotogwa mara nyingi kabisa ameketaliwa ruhusa ya kuingia Dubai, baada ya kwenda huko kutokeza katika klabu ya starehe..............


Rolf Buchholz, ametogwa mwahala 453 kwenye mwili na uso wake na ana pembe mbili kwenye kipaji.

Ameeleza kwenye mitandao ya kijamii kuwa alikataliwa na maafisa wa uwanja wa ndege kuingia nchini kwa sababu, kama alivosema, alikuwa "mchawi".

Bwana Buchholz ameapa kuwa hatarudi tena Falme za Kiarabu.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment