MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

CHRIS BROWN AMUOMBA RADHI ALIYEKUWA MPENZI WAKE"KARRUECHE" KUPITIA INSTA....

Baada ya Chris Brown, kumwagana na mpenzi wake Karrueche, na kufuatia majibizano makubwa kupitia media mbali mbali, CB, ameamua kumradhi kufuatia kitendo hicho................



CB, aliandika kupitia Insta, na kusema kuwa Social Media haikuwa sehemu sahii ya majibizano yao, na kusisitiza kuwa mambo ya mapenzi yao yalitakiwa kuwa binafsi zaidi na si kwa kujibizana kwenye mitandao.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment