MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MCHEZA FILAMU WA HOLLYWOOD,APATA AJALI

Mcheza filamu wa Hollywood,Harrison Ford, anapatiwa matibabu katika Hospitali moja mjini Los Angels baada ya ndege yake kuukuu kuanguka katika uwanja wa Gofu..............


Mcheza filamu huyo mwenye umri wa miaka 72 alikuwa akiendesha ndege hiyo mwenyewe.

Ndege hiyo ndogo ilinasa kwenye mti wakati ilipokuwa ikitua kwa dharula.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema Harrison Ford alikuwa amejeruhiwa, akionekana kuwa na damu iliyotapakaa usoni.


Matabibu wamesema Ford anaendelea vizuri na kuwa hali yake itatengemaa kabisa.
kutoka BBC
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment