MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

LOUIS VAN GAAL, ATOA LAWAMA KWA WACHEZAJI

31ED822900000578-3479173-image-a-73_1457282088914
Kocha wa Mna U, Louis Van Gaal, amefunguka baada ya kichapo cha bao 1-0, katika mchezo wake na West Brom, uliopelekea mchezaji wake “MATA” kupewa kadi nyekundu.

Aliendelea kwa kusema kuwa Kadi hiyo aliyopewa Mata, ndio iliyopelekea mchezo huo kuwa mgumu kwake na kusababisha kichapo cha bao 1-0.


Pia alisema kuwa mchezaji mwengine ambaye halishindwa kucheza kwenye kiwango chake ni Anthony Martial, kushindwa kupeleka mashuti upande wa upinzani wake.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment