MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Taliban wamteua kiongozi mpya Afghanistan

Mullah
Kundi la wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan limemteua kiongozi mpya baada ya kuuawa kwa Mullah Mansour.

Bw Mawlawi Haibatullah Akhundzada ndiye kiongozi mpya.

Manaibu wake watakuwa Sirajuddin Haqqani, ambaye mtandao wake umedaiwa kutekeleza mashambulio mengi ya mabomu Kabul, na 
Mohammad Yaqoob, mwanawe mwanzilishi wa Taliban, Mullah Omar.

Mansour aliuawa katika mkoa wa Balochistan nchini Pakistan kwenye 
shambulio lililotekelezwa na ndege za Marekani zisizokuwa na rubani.


Rais wa Marekani Barack Obama Jumatatu alithibitisha kifo cha Mansour Jumatatu.
Taliban
KUTOKA BBC SWAHILI
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment