KOFFI OLOMIDE ASHITAKIWA KWA KUPIGANA.
Mwanamuzik mashuhuri barani Afrika Koffi olomide
Ameshitakiwa kwa kumpiga mtayarishaji wake wa
Muziki.
Mwanamuziki huyo alikamatwa na kufungwa kwenye
Kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani .
Waandishi wa habari wanasema kuwa mahakama hiyo
Ya Kinshasa ilifurika watu wengi sana kuja kumona kiongozi
Huyo wa bendi ya Quartier Latin akiwa kizimbani.

0 maoni:
Post a Comment