WACHIMBA MADINI 30 WASHAMBULIWA KWA RISASI.
Zaidi ya watu 30 wauwawa katika makabiliano kati ya polisi
Na wachimba madini wanagoma Afrika kusini.
Waziri wa polisi wa Afrika kusisin amesema mahafa hayo
Yaliyokea katika mgodi wa marikana nchin humo.
Polisi walifyatua risasi baada ya kushindwa kuwatawanya
Wagomaji hao waliokuwa wamejihami kwa marungu na mapanga.

0 maoni:
Post a Comment