MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAFURIKO YASABABISH VIFO NIGERIA

Takribani watu 33 wameuawa kufuatia mafuriko

Makubwa katikati ya jimbo la Plateau nchini Nigeria.

Afisa mmoja w shirika la kutoa misaada,Abdussalam

Amesema kuwa maelfu ya watu wameachwa bila makazi

Baada ya makazi yao kusombwa na maji.

Amesema usafiri umetatizika baada ya barabara kadhaa

Na madaraja kusombwa na maji na hivyo kuvuruga shughuli

Za kutoa misaada.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment