MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

SERIKALI YATAKIWA KUWAPA VIPAUMBELE WANAFUNZI WA SAYANSI

Serikali imeaidi kuendelea kutoa viupaumbele mbalimbali kwa

Wanafunzi wanao soma masomo ya sayansi kwa lengo la

Kuwamasisha wanafunzi kuendelea kupenda masoo hayo.

Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na mkurugenzi wa elimu

Ya juu Agustino kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya chuo kikuu

Ulia katika kitivo cha elimu ya sayansi.

Bw.Agustino amesema kuwa miongoni mwa viupaumbele vitavyowafanya

Wanafunzi kupenda kupenda masomo ya sayansi ni kutoa mikopo pamoja

Na kutoa fursa kwa wanafunzi kwenda kusoma nje ya nchi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment