MAEREKANI YAONDOKEWA NA MWANA ANGA MKONGWE.
Rais wa marekani Barak Obama ameongoza katika sifa na
Rambi rambi zilizotoelewa baada ya kifo cha mwana anga
Wa kwanza kutua kwenye mwenzi Bw-NEIL ARMSTRONG,
Ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 82, kutokana na
Matatizo aliyopata baada ya upasuaji wa kwenye Moyo.

0 maoni:
Post a Comment