MELES ZENAWI WA ETHIOPIA AMEFARIKI.
Alikuwa na umri wa miaka hamsini na saba na ni
mmoja
Wa viongozi wenye ushawishi mkubwa na ambaye
utawala
Utawala wake ulikumbwa na utata barani afrika.
Hali yake ya afya imekuwa ikiangaziwa kwa
majuma
kadhaa sasa
ingawaje
hakukuwa na thibitisho kuhusu alichokuwa
akiugua
hasa.
Meles Zenawi aliingia madarakani mwaka 1991
baada ya
mapinduzi lakini akapokea sifa kutoka kwa
mataifa ya magharibi.

0 maoni:
Post a Comment